Taarifa iliyotukikia chumba chetu cha habari muda huu, inaeleza kuwa ajali mbali iliyohusisha mabasi mawili ya abiria, imetokea katika eneo la Manyoni Mkoani Singida na kupelekea vifo vya abiria 24 papo hapo na wengine kadhaa kujeruhiwa.
Akizungumza kwa njia ya kuelezea ajali hiyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, ACP Thobias Sedoyeka amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo iliyotokea majira ya saa nane mchana wa leo, ambayo inayahusisha mabasi ya Kampuni moja ya CITY BOYS ambalo moja lilikuwa likitoka Dar kwenda Kahama huku lingine likitoka Kahama kuelekea Dar. Taarifa kamili itawajia baadae kidogo.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 05, 2016

    Kuna haja ya ku address root cause ya hizi aajali .Binafsi nadhani afuatayo yanachangia kwa namna moja au ingine;
    1. Ulevi
    2. Incompetent drivers
    3. Ubovu wa magari
    4. Ubovu wa barabara
    Kwa mtizamo wangu haya yote yako ndani ya uwezo wa Serikali.Nchi za Wenzetu wame chuki hatua kama Zifuatazo ili ku control ajali za kizembe.
    1. Mandatory vehicle inspection every year.
    2. Driver wa mabasi ya abiria kuwa na mafunzo maalum.
    3.driver kufanyiwa vipimo vya ulevi.na adhabu yake ni suspension ya leseni ya driver mara apatikanapo na kosa hili. Etc

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 05, 2016

    Sad loss of lives thru road carnage

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...