Shirika la ndege la RwandAir likishirikiana na Jumuiya ya Wanyarwanda waishio nchini Tanzania wanakukarubisha kwenye usiku wa Tamaduni za Rwanda, utakaofanyika Julai 9, 2016 katika Ukumbi wa Mw. Nyerere, Jijini Dar es salaam. Kutakuwepo na ngoma ya asili kutoka Rwanda na wenyeji hapa Tanzania.
Njoo ujionee na ujifunze mengi zaidi baina ya nchini hizi mbili.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...