SIMU.tv: Wakurugenzi wateule wajiweka tayari kwa ajili ya shughuli ya kiapo cha utii kwa umma na jamii ya watanzania wote; https://youtu.be/2Ehcm0i4yMg
SIMU.tv: Ni Kiapo cha uadilifu kwa umma kwa wakurugenzi wa halmashauri, majiji, miji na manispaa ambacho kitatolewa mbele ya rais Magufuli; https://youtu.be/08pLsG4HkyM
SIMU.tv: Mhe. Kassim Majaliwa awataka wakurugenzi wateule kujituma katika nafasi walizopewa na kuhakikisha wanashughulikia suala la madawati mashuleni; https://youtu.be/rr55PYSK5Ho
SIMU.tv: Makamo wa rais Mama Samia Suluhu awaasa wakurugenzi wateule kuwa makini katika masuala ya fedha ili ziweze kuwanufaisha watanzania wote; https://youtu.be/0GHzpMhGFdU
SIMU.tv: Rais John Magufuli azungumzia juu yataarifa zilizozagaa kuhusu mfanyakazi wa hotel anaedaiwa kuteuliwa kuwa mkurugenzi; https://youtu.be/YcMmMRJ5o1Y
SIMU.tv: Rais John Magufuli akiwataka wakurugenzi kwenda kufanya kazi ili kuendana na kauli mbiu ya serikali ya awamu ya 5 ya HAPA KAZI TU; https://youtu.be/HlJ5qFpflBo
SIMU.tv: Hotuba ya Rais John Magufuli kuhusu suala la viwanda huku kuwataka wakurugenzi kwenda kusimamia serikali vilivyo ili kufanikisha Tanzania ya uchumi wa viwanda; https://youtu.be/K6Fqwpyg6Nk
SIMU.tv: NAIBU Waziri wa Ofisi ya Rais Mhe. Suleiman Jafo akielezea namna serikali ya awamu ya tano ilivyojipanga kuwatumikia watanzania; https://youtu.be/BG-tEhk-
SIMU.tv: Zoezi la upigaji picha kwa rais na wakurugenzi wote wapya lafanyika huku nyuso zao zikitawala tasabamu la kwenda kuitumikia vema Tanzania; https://youtu.be/r6_kz0y0Gnc
SIMU.tv: Wakurugenzi wapya wakiwa na nyuso za hapa kazi tu watoa maoni mbalimbali ya namna watakavyoutumikia Umma; https://youtu.be/O78AJkqsoIU


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...