Toa maoni kama unathamini nchi yako. Hizi ni rangi za Tanzania 
sio Simba au Yanga ni rangi za nchi yetu - Alex Kajumulo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. kwa mtazamo wangu sijapendezwa na design iliyofanywa ya kuchanganya rang, kwa mtazamo wangu walau wangekuwa na jezi tofauti ikiwa na rangi moja ikiakisi bendera ya taifa mfano blue iwe blue tu, kijanui iwe kijani tu, nyeusi iwe nyeusi tu, na nyeupe pia huo ndo muonekano mzuri wa njezi sio kutuchanganyia marangi

    ReplyDelete
  2. Rangi zimekuwa nyingi sana. kazi nzuri ila iwe colour moja na suggest blue then ufito wa rangi za yellow and black zipite katika pindo la mkono mwishoni.

    ReplyDelete
  3. Haina tofauti na zamani marangi mengi sana, kiukweli jezi za taifa zinaboa sababu ya kuchanganya rangi, tafuteni rangi moja, kama suala ni hio bendera ya taifa inaweza wekwa kama nembo tu sehemu, angalieni jezi za wenzetu zinavyopendeza mjifunze.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...