Baadhi ya wasamalia wakiiangalia Gari aina ya Range Rover yenye namba za usajili T 777 CRK iliyopiga mweleka katika eneo la mataa ya St. Peter, Jijini Dar es salaam mapema leo asubuhi, kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, inaelezwa kuwa chanzo cha ajali ni mwendo kasi na Dereva wa gari hilo ambaye alionekana kuwa ni mtu aliyezidiwa na kilevi. watu wote waliokuwemo ndani ya gari hilo walitoka salama na majeraha kidogo sehemu ya mwili.
Dereva na abirika wake wakitoka kwenye gari hiyo baada ya kupiga mweleka asubuhi ya leo, huku wakiendelea kufanya juhudi za kuwasiliana na ndugu na jamaa.
Hivi ndivyo gari livyokuwa baada ya mzinga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kitu Range Rover. Gharama yaukarabati ni afadhali anunue gari nyingine

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...