Timu ya Taifa ya Cameroon imefanikiwa kutinga fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) yanaoendelea kufanyika kule nchini Gabon, baada ya kufunga timu ya Ghana goli 2-0 yaliyowekwa mikiani na Ngadeu Ngadjui (dakika ya 72) na Christian Bassogog (dakika ya 90). kwa matokeo hayo, Timu ya Cameroon itakutana na Timu ya Misri katika mchezo wa fainali utakachezwa Februari 5, 2016 katika dimba la Libreville, nchini Gabon.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...