Waya wa umeme uliokatika ukiwa unaanza kufuka moshi baada ya kukatika mtaa wa Mchikichi na Msimbazi, jijini Dar es salaam.
 Gari la Zimamoto likiwa eneo la tukio mtaa wa Mchikichi na Msimbazi baada ya waya wa umeme kukatika na kuanza kutoa moshi na hatimaye moto.



  Kikosi cha Zimamoto kikiwa eneo la tukio mtaa wa Mchikichi na Msimbazi baada ya waya wa umeme kukatika na kuanza kutoa moshi na hatimaye moto.

 Askari wa zimamoto wakiwa wanajaribu kuuzima moto huo kabla ya shirika la umeme la Tanesco hawajafika.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...