Mdau Josina Nchimbi kwa furaha akiwa ameshika kitabu chenye majina ya
wahitimu wa Degree mbali mbali 2017 katika chuo Kikuu Huria Tanzania
ambapo Bi Josina amehitimu Shahada ya Uzamili katika Elimu ya Utawala,
Mipango na Sera. HONGERA SANA JOSINA.
Mdau Josina Nchimbi pichani (wapili kutoka kushoto) akiwa na wahitimu mbali
mbali kwenye mahafali ya 32 ya Chuo kikuu Huria yaliyofanyika Mkoani Njombe.
Mdau Josina Nchimbi na ma uncle zake wakiwa wenye furahaa baada ya Josina
kuhitimu Shahada ya Uzamili katika Elimu ya Utawala, Mipango na Sera, Chuo
Kikuu Huria kwenye mahafali ya 32 ya chuo hicho yaliyofanyika Mkoani
Njombe.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...