Kutoka Kulia Mwenyekiti wa Watanzania Korea Bw Othman Hailey, Afisa Balozi Japan John Kambona Balozi Batilda Masuka na Katibu wa Tanzania Korea Bi Debora wakiwa VIP launch baada Balozi kuwasilisha na kufanya Mahojiano na magazini ya Korean Post.
Balozi Batilda Masuka mwenye Maua Akiwa na Uongozi wa Watanzania Korea wakiongozwa na Mwenyekiti wao Mkurugenzi wa Namtho Trading Bw Othman Hailey, Katibu wa watanzania Korea Bi Debora na Mjumbe Bi Isebella Katondo Pamoja na Afisa Balozi Bw John Kambona.
Baada ya kuwasili Kituo cha Kazi Korea ya Kusini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...