Mchungaji Ipyana Mwamugobole wa  mjini Wuppertal nchini Ujerumani ameandika na kuchapisha kitabu kwa ajili ya kuwasaidia wanafunzi wa vyuo na wa sekondari katika kushinda majaribu au challenges wanazokabiliana nazo wawapo kwenye mazingira ya masomo. Kitabu kinaitwa:NGUVU YA MUNGU DHIDI YA MAJARIBU YANAYOWAKABILI WANAFUNZI VYUO VYA ELIMU YA JUU . Yeyote anayetaka kitabu hiki awasiliane naye kwa whatsapp namba hii: +4915216408459.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...