Ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukiongozwa na Mhe. Augustino Manyanda Masele (wa pili kulia waliokaa) wakati wa ufunguzi wa Semina ya Wabunge iliyofanyika jana katika Jiji la Fuzhou nchini China. Ujumbe huo uko nchini China kwa wiki mbili kwenye ziara ya mafunzo yaliyoandaliwa na Wizara ya Biashara ya nchi hiyo. 

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...