Na Chalila Kibuda, Globu yaJamii
WAFANYAKAZI 17 wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga wa Nchini Uganda wamehitimu mafunzo ya kozi mbalimbali katika Chuo cha Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini (CATC).
Akizungumza katika mahafali ya 270 ya Chuo hicho ,Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Nchini (TCAA) , Hamza Johari amesema kuwa waliohitimu mafunzo katika chuo hicho wakatumie elimu ambayo italeta mabadiliko katika usafiri wa anga.
Amesema chuo cha CATC kinatambulika na Shirika la Usafiri wa Anga Duniani (ICAO) hivyo mafunzo yanayotolewa ni bora kutokana nakutambulika kwa nchi mbalimbali kuleta watalaamu wao kuja kujifunza masuala ya usafiri anga nchini Tanzania.
Hamza amesema tofauti kinachofanya kwa watalaam hao kuwa wameiva ni kuonyesha mikakati yauekelezaji kwa kile walichojifunza katika maendeleo ya nchi yao pamoja na Afrika Mashariki katika utoaji wa huduma ya usafiri wa anga.
Amesema mikakati iliyopo kwa chuo hicho ni kuingia ubia na Chuo cha Nchini Singapore kwa ajili ya kutoa mafunzo ya usafiri wa anga kwa nchi za Afrika hali ambayo itafanya Chuo kuongeza idadi ya wanafunzi wanakuja kusoma na kuifanya Tanzania kutambulika zaidi katika utoaji wamafunzo ya usafiri wa anga.
Nae Mkuu wa Chuo CATC, Dk. Daniel Karenge amesema kuwa wahitimu waliohitimu chuo hicho tangu kilipoanzishwa mwaka 2000 niwahitimu 3056 katoka nchi mbalimbali zaAfrika .
Amesema kuwa wanaopata mafunzo hayo kwa asilimia kubwa ni watu wa nje ya nchi hivyo amewasaa watanzania kutumia fursa ya kupata mafunzo ya usafiri wa anga katika chuo chao.
WAFANYAKAZI 17 wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga wa Nchini Uganda wamehitimu mafunzo ya kozi mbalimbali katika Chuo cha Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini (CATC).
Akizungumza katika mahafali ya 270 ya Chuo hicho ,Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Nchini (TCAA) , Hamza Johari amesema kuwa waliohitimu mafunzo katika chuo hicho wakatumie elimu ambayo italeta mabadiliko katika usafiri wa anga.
Amesema chuo cha CATC kinatambulika na Shirika la Usafiri wa Anga Duniani (ICAO) hivyo mafunzo yanayotolewa ni bora kutokana nakutambulika kwa nchi mbalimbali kuleta watalaamu wao kuja kujifunza masuala ya usafiri anga nchini Tanzania.
Hamza amesema tofauti kinachofanya kwa watalaam hao kuwa wameiva ni kuonyesha mikakati yauekelezaji kwa kile walichojifunza katika maendeleo ya nchi yao pamoja na Afrika Mashariki katika utoaji wa huduma ya usafiri wa anga.
Amesema mikakati iliyopo kwa chuo hicho ni kuingia ubia na Chuo cha Nchini Singapore kwa ajili ya kutoa mafunzo ya usafiri wa anga kwa nchi za Afrika hali ambayo itafanya Chuo kuongeza idadi ya wanafunzi wanakuja kusoma na kuifanya Tanzania kutambulika zaidi katika utoaji wamafunzo ya usafiri wa anga.
Nae Mkuu wa Chuo CATC, Dk. Daniel Karenge amesema kuwa wahitimu waliohitimu chuo hicho tangu kilipoanzishwa mwaka 2000 niwahitimu 3056 katoka nchi mbalimbali zaAfrika .
Amesema kuwa wanaopata mafunzo hayo kwa asilimia kubwa ni watu wa nje ya nchi hivyo amewasaa watanzania kutumia fursa ya kupata mafunzo ya usafiri wa anga katika chuo chao.
Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Nchini (TCAA) , Hamza Johari
akizungum za katika mahafali 270 ya Chuo cha Usafiri wa Anga CATC
yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA),jijini
Dar es Salaam.
Mkuu
wa Chuo cha Usafri wa Anga (CATC), Dk. Daniel Karenge akitoa taarifa ya
Chuo hicho katika mahafali ya 270 yaliyofanyika katika Ukumbi wa
Mamlaka ya Usafiri wa Anga(TCAA), jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi
Mkuu Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari akitoa
cheti kwa Mhitimu wa Kozi ya Watoa Taarifa za Usafiri wa Anga, Stella
Kabagenyi katika mahafali ya Mahafali ya 270 ya Chuo cha UsafiriwaAnga
Tanzania(CATC) yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga
(TCAA, Jijini , Dar es Salaam.
Sehemu
ya wahitimu wakionesha vyeti vyao katika mahafali ya 270 ya Chuo hicho
yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA, Jijini ,
Dar es Salaam.
Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Nchini (TCAA) , Hamza Johari akiwa
katika picha pamoja na wahitimu wa Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania
(CATC) katika mahafali ya 270 ya chuo hicho yaliyofanyika katika Ukumbi
wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA, Jijini , Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...