Bodi ya wakurugenzi ya klabu ya Ndanda FC yenye maskani yake manispaa ya Mtwara Mikindani imeukana udhamini wa kampuni ya Maxcom Limited na Kiboko ambapo awali ulitangaza kutoa udhamini kwa klabu hiyo hivyo kuleta mvutano wa pande mbili kati ya wanachama na uongozi ambapo wanachama wandai kuwa na wadhamini wanne na huku timu ikiendelea kulalama ukata wa fedha

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...