Bodi ya wakurugenzi ya klabu ya Ndanda FC yenye maskani yake manispaa ya Mtwara Mikindani imeukana udhamini wa kampuni ya Maxcom Limited na Kiboko ambapo awali ulitangaza kutoa udhamini kwa klabu hiyo hivyo kuleta mvutano wa pande mbili kati ya wanachama na uongozi ambapo wanachama wandai kuwa na wadhamini wanne na huku timu ikiendelea kulalama ukata wa fedha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...