Katibu Tawala Wilaya ya Kibaha Mkoa wa Pwani, Sozi Ngate,(Wapili kulia) akipokea msaada wa kompyuta kati ya 20 toka kwa Mkurugenzi wa Bridge for change,Ocheck Msuva na Meneja Ruzuku na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation,Sandra Oswald wakati wafanyakazi wa kampuni hiyo walipotembelea shule za sekondari ya Kilangala na Miembe Saba,kwaajili ya kuwashauri  juu ya  mafunzo ya upatikanaji wa masomo kwenye simu za kinganjani na kompyuta(Free Digital Learning) na kutoa msaada wa komyuta kwa kushirikiana na Taasisi ya Bridge for change katika shule hizo mwishoni mwa wiki,Anaeshuhudia kulia ni Mkuu wa shule ya Kilangalanga,Albert Mabiki.
Ofisa Mtambo Tanakilishi wa Vodacom Tanzania PLC, Robert German akiongea na baadhi ya wanafunzi wa Sekondari ya Kilangalanga iliyopo Mlandizi mkoa wa Pwani wakati wafanyakazi wa kampuni hiyo walipotembelea shule za sekondari ya Kilangalanga na Miembe Saba,kwa ajili ya kuwashauri  kwa  juu ya mafunzo ya upatikanaji wa masomo kwenye simu za kinganjani na kompyuta(Free Digital Learning) na kutoa msaada wa kompyuta 20  kwa kushirikiana na Taasisi ya Bridge for change katika shule hizo mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...