Askofu
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Dayosisi ya Mashariki na Pwani,
Alex Malasusa akiongoza Maelfu ya Waumini wa KKKT wa Dayosisi hiyo
katika Ibada ya Miaka 500 ya Matengenezo ya Kanisa,iliyofanyika jana
Uwanja wa Taifa,jijini Dar.

Naibu Katibu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani Mission na Uinjilisti Mchungaji, Boniface Kombo akiongoza Lutrijia wakati wa Ibada ya Miaka 500 ya Matengenezo ya Kanisa.
Mchungaji Lewis Hiza akisoma somo la pili wakati wa Ibada ya Miaka 500 ya Matengezo ya Kanisa la KKKT iliyoadhimishwa na Dayosisi ya Mashariki na Pwani katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
Mchungaji Muke Najua kutoka nchini Afrika kusini akitoa mahubiri wakati Ibada ya Miaka 500 ya Matengenezo ya Kanisa hilo iliyofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
Kundi la watoto zaidi ya 4000 waliopata Ubarikio wa Kipaimara wakati wa Ibada ya Miaka 500 ya Matengenezo ya Kanisa la KKKT Duniani yaliyofanyika katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
Naibu Katibu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani Mission na Uinjilisti Mchungaji, Boniface Kombo akiongoza Lutrijia wakati wa Ibada ya Miaka 500 ya Matengenezo ya Kanisa.
Mchungaji Lewis Hiza akisoma somo la pili wakati wa Ibada ya Miaka 500 ya Matengezo ya Kanisa la KKKT iliyoadhimishwa na Dayosisi ya Mashariki na Pwani katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
Mchungaji Muke Najua kutoka nchini Afrika kusini akitoa mahubiri wakati Ibada ya Miaka 500 ya Matengenezo ya Kanisa hilo iliyofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
Kundi la watoto zaidi ya 4000 waliopata Ubarikio wa Kipaimara wakati wa Ibada ya Miaka 500 ya Matengenezo ya Kanisa la KKKT Duniani yaliyofanyika katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...