Meneja huduma za Ziada na Tehama wa Vodacom Tanzania PLC,Mathew Kampambe(kushoto) na Msimamizi mwandamizi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini,Chiku Saleh(katikati)wakionyeshwa na  Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Matina Nkurlu,namba ya simu ya mshindi  aliejishindia Tsh. Milioni 15/- Godwin Kasembe Mkazi wa kinondoni jijini Dar es Salaam wakati wa kuchezesha droo ya 17  ya Tusua Mapene inayoendeshwa na kampuni hiyo ili Mteja wa Vodacom aweze kushiriki kwenye promosheni hii anatakiwa kutuma neno  “CHECK” au “VODA” kwenda namba15544, kwa gharama ya shilingi 300 tu.
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(kulia)akiongea kwenye simu na mmoja wa washindi wakati wa kuchezesha droo ya 17  ya Tusua Mapene inayoendeshwa na kampuni hiyo ili Mteja wa Vodacom aweze kushiriki kwenye promosheni hii anatakiwa kutuma neno  “CHECK” au“VODA” kwenda namba 15544, kwa gharama ya shilingi 300 tu,kushoto ni Meneja huduma za Ziada na Tehama wa kampuni hiyo, Mathew Kampambe na Msimamizi mwandamizi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini,Chiku Saleh.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...