Habari
Naitwa Lylian Muttakyawa, ni Mtanzania
Nimeleta ujumbe huu kuwaomba Watanzania wote kunipigia kura niweze kushinda tuzo ya Miss Africa USA kwa ajili ya nchi yetu ya Tanzania
Kupiga kura ni rahisi, tafadhali bofya kiunganishi(Link) ifuatayo kisha utabonyeza VOTE kura hii inapigwa mara moja kwa kila siku na mwisho wa kupiga kura ni tarehe 10/11/2017.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...