Naibu Waziri wa Habari Sanaa na Michezo, Juliana Shonza, akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Studio ya Wanene na Wasanii Nguza Viking , Papii Nguza (Papii Kocha ) kwa ajili ya kurekodi mziki wa Live katika Studio Wanene.
 Msanii wa Muziki wa Dansi Nguza Viking akizungumza na Waandishi wa  Habari mara Baada ya kufanya Mazungumzo na Uongozi wa Wanene Studio na Naibu Waziri.
 Mwanamuziki wa Muziki wa Dansi Papii Kocha akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam mara baada ya kutembelea Studio za Wanene na kufanya Mazungumzo  na mkurugenzi wa Studio na Naibu Waziri wa Habari Sanaa na Michezo Juliana Shonza
  Naibu Waziri wa Habari Sanaa na Michezo, Juliana Shonza, akiteta na Mkurugenzi wa Wanene  Studio wakati wa mazungumzo  ya Kufanikisha wasanii hao kurekodi katiKa Studio hizo
Wasanii   wa  muziki wa Muziki wa Dansi Papii Kocha na Gunza Viking wakiwa wanatoka katika Studio za Wanene Mikocheni Dar es Salaam
--

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...