Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula akizungumza na wakazi wa kata ya Sing’isi alipokuenda kuwasikiliza kuhusu mgogoro wa ardhi dhidi ya muwekezaji
 Sehemu ya wananchi wa kata ya Sing’isi wakimsikiliza Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi  Angelina Mabula.
 Diwani wa Seela-Sing’isi Wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha Penzila Pallangyo akimueleza Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula kuhusu mgogoro wa ardhi wa eneo la kata ya Sang’isi.
Maofisa kutoka Wizara ya Ardhi na Kanda ya Kaskazini wakifuatilia mkutano baina ya wananchi wa kata ya Sang’isi wilaya ya Arumeru na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...