Katibu Mkuu Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bibi. Sihaba Nkinga akizungumza na watumishi wa Idara Kuu anayoiongoza katika Kikao cha wafanyakazi kilichofanyika katika Chuo Kikuu cha Dodoma kilicholenga kukumbushana masuala mbalimbali ya kiutendaji ili kuboresha utendaji kazi na huduma kwa wananchi.
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bw. Raphael Nombo akifafanua masuala mbalimbalia ya Kiutawala na Kiutumishi kwa watumishi wa Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii katika Kikao cha wafanyakazi kilichofanyika katika Chuo Kikuu cha Dodoma kilicholenga kukumbushana masuala mbalimbali ya kiutendaji ili kuboresha utendaji kazi na huduma kwa wananchi.
Afisa Utumishi Bi. Daina Lumelezi akieleza yatokanayo na Kikao kilichopita kwa Katibu Mkuu Idara Kuu Maendeleo ya Jamii na na watumishi katika Kikao cha wafanyakazi kilichofanyika katika Chuo Kikuu cha Dodoma kilicholenga kukumbushana masuala mbalimbali ya kiutendaji ili kuboresha utendaji kazi na huduma kwa wananchi.
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango Bi. Sophina Mjangu akiwasilisha Sura ya Bajeti kwa Mwaka 2018/2019 kwa watumishi wa Idara Kuu anayoiongoza katika Kikao cha wafanyakazi kilichofanyika katika Chuo Kikuu cha Dodoma kilicholenga kukumbushana masuala mbalimbali ya kiutendaji ili kuboresha utendaji kazi na huduma kwa wananchi.
Baadhi ya watumishi wakifuatilia kikao kati yao na Katibu Mkuu Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bibi. Sihaba Nkinga (hayupo pichani) kilichofanyika katika Chuo Kikuu cha Dodoma kilicholenga kukumbushana masuala mbalimbali ya kiutendaji ili kuboresha utendaji kazi na huduma kwa wananchi.Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano WAMJW

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...