Sehemu ya Kiwanda cha Mafuta cha MURZAH kikiteketea kwa moto huku baadhi ya ya Magari ya Askari wa kikosi cha Zima Moto wakijitahidi kuzima moto huo ambao mpaka sasa chanzo chake hakijajulikana.
Sehemu ya Kiwanda Cha Mafuta cha MURZAH kikiteketea kwa moto huku baadhi ya ya Magari ya Askari wa kikosi cha Zima Moto wakijitahidi kuzima moto huo ambao mpaka sasa chanzo chake hakijajulikana.
Askari wa Jeshi la Zima Moto wakijaribu kuudhibiti moto ambao ulikuwa unarukia upande wa pili wa Kiwanda cha Africariers mara bada sehemu ya Kiwanda cha Mafuta cha Murzah kuteketea kwa moto
Askari wa Zima Moto na baadhi ya wakurugenzi wa Kiwanda Cha Murzah wakiw akatika harakati za kuzima moto huo.--
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...