Meneja Mawasiliano wa Tigo Tanzania, Woinde Shisael (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Tigo jijini Dar es Salaam leo katika hafla ya kukabidhi simu janja aina ya Tecno R6 kwa washindi 52 kutoka Dar es Salaam wa wiki hii katika promosheni ya Tigo Nyaka Nyaka Bonus. Kulia ni Mtaalam wa Usambaji Bidhaa wa Tigo, Baraka Hamza.
Meneja Mawasiliano wa Tigo Tanzania, Woinde Shisael (kushoto) akikabidhi zawadi ya simu janja aina ya Tecno R6 kwa Tatu Shomari Kandi (kati) mjasirialimali n amkaazi wa Tabata jijini Dar es Salaam baada ya kuibuka kama mojawapo ya washindi 84 wa wiki hii katika promosheni ya Tigo Nyaka Nyaka Bonus jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mtaalam wa Usambaji Bidhaa wa Tigo, Baraka Hamza.
Meneja Mawasiliano wa Tigo Tanzania, Woinde Shisael (kushoto) akikabidhi zawadi ya simu janja aina ya Tecno R6 kwa Mariam Yatela Omari (kati), mhudumu wa saluni katika eneo la Kisarawe, Dar es Salaam baada ya kuibuka kama mojawapo ya washindi 84 wa wiki hii katika promosheni ya Tigo Nyaka Nyaka Bonus iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mtaalam wa Usambaji Bidhaa wa Tigo, Baraka Hamza.
Meneja Mawasiliano wa Tigo Tanzania, Woinde Shisael (kushoto) akikabidhi zawadi ya simu janja aina ya Tecno R6 kwa Boni Japhet Sanga (kati) mjasirialimali n amkaazi wa Tabata jijini Dar es Salaam baada ya kuibuka kama mojawapo ya washindi 84 wa wiki hii katika promosheni ya Tigo Nyaka Nyaka Bonus jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mtaalam wa Usambaji Bidhaa wa Tigo, Baraka Hamza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...