Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mheshimiwa Josephine Matiro ametembelea maeneo ya Stendi ya Mjini Shinyanga kukagua mazingira ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya mazingira duniani ambayo hufanyika Juni 5 kila mwaka. 
g 
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mheshimiwa Josephine Matiro akizungumza na wafanyabiashara na wasafiri katika Stendi ya Shinyanga Mjini.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mheshimiwa Josephine Matiro katika Stendi ya Shinyanga Mjini.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mheshimiwa Josephine Matiro akiwa katika Stendi ya mabasi ya Shinyanga Mjini akielekea katika choo kilichopo katika stendi hiyo. Kwa habari kamili BOFYA HAPA


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...