I
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mheshimiwa Josephine Matiro ametembelea maeneo ya Stendi ya Mjini Shinyanga kukagua mazingira ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya mazingira duniani ambayo hufanyika Juni 5 kila mwaka.
g
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mheshimiwa Josephine Matiro akizungumza na wafanyabiashara na wasafiri katika Stendi ya Shinyanga Mjini.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mheshimiwa Josephine Matiro katika Stendi ya Shinyanga Mjini.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mheshimiwa Josephine Matiro akiwa katika Stendi ya mabasi ya Shinyanga Mjini akielekea katika choo kilichopo katika stendi hiyo. Kwa habari kamili BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...