Mhasibu kutoka Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bw.Juma Shaha akifuatilia jambo kwa washiriki wa mafunzo  wa Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) yanayoendelea Mkoani Iringa yakiwashirikisha wahasibu,waweka hazina na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ya Tanga,Iringa na Morogoro.
Mhasibu kutoka Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bw.Juma Shaha akifafanua jambo kwa washiriki wa mafunzo  wa Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) yanayoendelea Mkoani Iringa yakiwashirikisha wahasibu,waweka hazina na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ya Tanga,Iringa na Morogoro.
Washiriki wa mafunzo  wa Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) wakifanya mafunzo kwa vitendo kwa kutumia mfumo mpya wa Epicor 10.2 leo Mkoani Iringa ambapo mafunzo hayo yanawashirikisha wahasibu,waweka hazina na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ya Tanga,Iringa na Morogoro.
Washiriki wa mafunzo  wa Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) wakifanya mafunzo kwa vitendo kwa kutumia mfumo mpya wa Epicor 10.2 leo Mkoani Iringa ambapo mafunzo hayo yanawashirikisha wahasibu,waweka hazina na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ya Tanga,Iringa na Morogoro.
Washiriki wa mafunzo  wa Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) wakifanya mafunzo kwa vitendo kwa kutumia mfumo mpya wa Epicor 10.2 leo Mkoani Iringa ambapo mafunzo hayo yanawashirikisha wahasibu,waweka hazina na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ya Tanga,Iringa na Morogoro.
Washiriki wa mafunzo  wa Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) wakifanya mtihani wa tathmini katika magrupu leo Mkoani Iringa ambapo mafunzo hayo yanawashirikisha wahasibu,waweka hazina na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ya Tanga,Iringa na Morogoro.
Mhasibu kutoka Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bw.Juma Shaha(kushoto) akifuatiia jambo na Mtaalamu mshauri wa Masuala ya rasilimali fedha Bi.Hellen Nyagwa wakati wa mafunzo ya Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) yanayofanyika kwa wahasibu,waweka hazina na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ya Tanga,Iringa na Morogoro.
Washiriki wa mafunzo  wa Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) wakifanya mafunzo kwa vitendo kwa kutumia mfumo mpya wa Epicor 10.2 leo Mkoani Iringa ambapo mafunzo hayo yanawashirikisha wahasibu,waweka hazina na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ya Tanga,Iringa na Morogoro.
Picha na Daudi Manongi,MAELEZO, IRINGA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...