
Waziri wa Mali Asili na Utalii Mh.Dkt.Hamisi Kigangwala akipokea maelezo kutoka kwa Meneja Masoko na Mawasiliano wa Precision Air Bw.Hillary Mremi , alipotembelea banda la Precision Air katika Maonyesho ya utalii Karibu/Kili Fair.
Meneja Mauzo wa Precision Air Kanda ya Kaskazini, Bi.Lydia Kibonde akitoa maelezo kwa mmoja ya wageni waliofika katika banda la Precision Air katika maonyesho ya Karibu/Kili Fair yaliyofanyika mjini Moshi
Wateja wa Precision Air wakipata huduma katika banda la Precision Air katika maonyesho ya utalii Karibu/Kili Fair
Timu ya Precision Air katika maonyesho ya utalii ya Karibu/Kili Fair Kushoto ni Meneja Mauzo kanda ya Kaskazini Bi.Lydia Kibonde, Katikati Meneja Masoko and Mawasiliano Bw.Hillary Mremi and Afisa Mauzo Bi. Monica Massawe.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...