Waziri wa Mali Asili na Utalii Mh.Dkt.Hamisi Kigangwala akipokea maelezo kutoka kwa Meneja Masoko na Mawasiliano wa Precision Air Bw.Hillary Mremi , alipotembelea banda la Precision Air katika Maonyesho ya utalii Karibu/Kili Fair.
 Meneja Mauzo wa Precision Air Kanda ya Kaskazini, Bi.Lydia Kibonde akitoa maelezo kwa mmoja ya wageni waliofika katika banda la Precision Air katika maonyesho ya Karibu/Kili Fair yaliyofanyika mjini Moshi
Wateja wa Precision Air wakipata huduma katika banda la Precision Air katika maonyesho ya utalii Karibu/Kili Fair
 Timu ya Precision Air katika maonyesho ya utalii ya Karibu/Kili Fair Kushoto ni Meneja Mauzo kanda ya Kaskazini Bi.Lydia Kibonde, Katikati Meneja Masoko and Mawasiliano Bw.Hillary Mremi and Afisa Mauzo Bi. Monica Massawe.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...