Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali  katika kikao cha siku moja cha Utekelezaji wa Mpango kazi wa Mwaka 2017/2018 sambamba na Mpango kazi wa Mwaka 2018-2019, kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.
 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Riziki Pembe Juma (katikati) akisoma muhtasari wa  Utekelezaji wa Mpango kazi  wa Wizara hiyo kwa kipindi cha Julai 2017 hadi Juni 2018 katika kikao cha siku moja cha Uongozi kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)  Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Mmanga Mjengo Mjawiri.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Dkt.Idrisa Muslim Hija (kulia) akifafanua jambo wakati wa  kikao cha siku moja cha Uongozi katika utekelezaji wa Mapngo kazi wa Mwaka 2017-2018 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) akiwepo na Mshauri wa Rais Ushikiano wa Kimataifa na Uchumi Mhe.Mohamed Ramia Abdiwawa (kushoto).
 Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na  Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee akichangia pamoja na kutoa maelezo wakati wa  kikao cha siku moja cha Uongozi cha utekelezaji wa Mapngo kazi wa Mwaka 2017-2018 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Riziki Pembe Juma (kushoto).
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati)  akisisitiza jambo wakati wa  kikao cha siku moja cha Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali katika utekelezaji wa Mapngo kazi wa Mwaka 2017-2018 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.
 Wasaidizi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein wakiwa katika kikao cha siku moja cha Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali siku moja cha Utekelezaji wa Mpango kazi wa Mwaka 2017/2018 na Mpango kazi wa Mwaka 2018-2019 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.
 Baadhi ya Wakurugenzi katika Idara za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali wakimsikiliza  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) katika kikao cha utekelezaji wa Mapngo kazi wa Mwaka 2017-2018 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar. (Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...