Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (watatu kutoka kushoto), akipata maelezo
juu ya ubora wa silaha inayotumika katika kupambana na uhalifu baada ya kutembelea Makao
Makuu ya Kikosi cha Kutuliza Ghasia, kilichopo Ukonga, jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akithibitisha ubora wa silaha baada ya
kutembelea Makao Makuu ya Kikosi cha Kutuliza Ghasia kilichopo Ukonga, jijini Dar es
Salaam.
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Nsato Marijani (kulia), akizungumza na
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, baada ya waziri kutembelea Makao Makuu
ya Kikosi cha Kutuliza Ghasia, kilichopo Ukonga, jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mrakibu
Mwandamizi, Paulo Sanga.
Sajenti wa Jeshi la Polisi, Kusekwa Machibya akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani
ya Nchi, Kangi Lugola (wapili kutoka kushoto) baada ya waziri kutembelea Makao Makuu ya
Kikosi cha Kutuliza Ghasia, kilichopo Ukonga, jijini Dar es Salaam. Wengine ni Maofisa wa
jeshi kutoka Makao Makuu ya Polisi, walioongozana na waziri katika ziara hiyo.
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Nsato Marijani akizungumza na
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, baada ya waziri kutembelea Makao
Makuu ya Kikosi cha Kutuliza Ghasia, kilichopo Ukonga, jijini Dar es Salaam. Picha na
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...