Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (watatu kutoka kushoto), akipata maelezo juu ya ubora wa silaha inayotumika katika kupambana na uhalifu baada ya kutembelea Makao Makuu ya Kikosi cha Kutuliza Ghasia, kilichopo Ukonga, jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akithibitisha ubora wa silaha baada ya kutembelea Makao Makuu ya Kikosi cha Kutuliza Ghasia kilichopo Ukonga, jijini Dar es Salaam.
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Nsato Marijani (kulia), akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, baada ya waziri kutembelea Makao Makuu ya Kikosi cha Kutuliza Ghasia, kilichopo Ukonga, jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mrakibu Mwandamizi, Paulo Sanga.
Sajenti wa Jeshi la Polisi, Kusekwa Machibya akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (wapili kutoka kushoto) baada ya waziri kutembelea Makao Makuu ya Kikosi cha Kutuliza Ghasia, kilichopo Ukonga, jijini Dar es Salaam. Wengine ni Maofisa wa jeshi kutoka Makao Makuu ya Polisi, walioongozana na waziri katika ziara hiyo.
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Nsato Marijani akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, baada ya waziri kutembelea Makao Makuu ya Kikosi cha Kutuliza Ghasia, kilichopo Ukonga, jijini Dar es Salaam. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...