Katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi CCM ,Dk Ally Bashiru akimsikiliza Afisa  Matekelezo wa NSSF  Kassim Mfunda aliyekuwa akitoa maelezo na taratibu namna ya wanachama wanavyoweza kujiunga na shirika hilo na kujipatia huduma mbalimbali zikiwemo za Mafao.
Afisa huduma kwa wateja  Riziki Kibwasali akimpatia zawadi Katibu Mkuu wa chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt Ally Bashiru ,pembeni yake ni Afisa Uhusiano wa NSSF Angella Msangi.Kushoto ni Mkurugenzi  wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tan Trade) ,Edwin Rutegaruka akishuhudia tukio hilo
Afisa Uhusiano  wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF Angella Msangi akitoa maelezo ya huduma mbali mbali zinazofanywa na shirika hilo kwa katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dk Ally Bashiru alipotembelea kwenye maonesho ya biashara ya kimataifa yanayoendelea  jijini Dar es salam,pembeni ni Afisa mkuu  matekelezo kitengo cha Hiari,Abas Cothema

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...