Wakazi wa vitongoji mbalimbali vya jiji la Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki wakipata burudani moto moto ya muziki katika tamasha la muziki lililoandaliwa na kampuni ya masuala ya burudani ya STR8UP na kufanyika katika ukumbi wa Velisas-Kawe, chini ya udhamini wa bia ya Castle Lite.
Meneja wa Mawasiliano ya Wateja wa TBL, David Tarimo, (katikati) akiwa na Mtalaamu wa Ubunifu nchini Ally Remtulla (kulia) wakati wa tamasha la la Muziki la STR8UP, lililofanyika katika ukumbi wa Velisas Kawe, wakipata burudani kwa udhamini wa bia ya Castle Lite .
Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam, waliohudhuria katika tamashala la Muziki la STR8UP, lililofanyika katika ukumbi wa Velisas Kawe wakipata burudani kwa sambamba na kinywaji cha Castle Lite.
DJ akionyesha umahiri wake wakati wa tamasha la Muziki la STR8UP, lililofanyika katika ukumbi wa Velisas Kawe jijini Dar es Salaam, kwa udhamini wa bia ya Castle Lite.
Mtaalamu wa kupiga drum, Haidery Vagu, akionyesha umahiri wake katika tamasha hilo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...