Wavuvi wakiondoka kwenda kuvua mapema  asubuhi katika kisiwa cha Gana wilaya ya Ukerewe mkoa wa Mwanza.

Wavuvi wa kisiwa cha Gana wilaya ya Ukerewe mkoni Mwanza  wakielekea maneno mablimbali ya ziwa Victoria kwenda kuvua. Wameiambia  Michuzi blog kwamba upatikanaji wa samaki kwa sasa ni mwingi kutokana na operesheni ya Uvuvi haramu unaoendelea umeweza kusaidia samaki kuwa rahisi kuwapata kutokana na kutokuvuliwa kabla ya wakati wake.  (Picha na Emmanuel Massaka, Globu ya jamii)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...