Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge Kazi Vijana Ajira na
Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama ametembelea Idara na Vitengo
vilivyopo Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu ili
kujionea hali halisi ya utendaji kazi wa watumishi wa ofisi hiyo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge Kazi Vijana Ajira na
Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akisisitiza jambo kwa afisa wa
hifadhi ya jamii wa Ofisi hiyo Bw. Saimon Mwanjala wakati alipotembelea
Idara na Vitengo vilivyopo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu kuona utendaji
wao leo jijini Dodoma. (Kushoto) Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali
watu Bw. Peter Kalonga.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge Kazi Vijana Ajira na
Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akisalimiana na Mkurugenzi wa Sera na
Mipango wa Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Bw.
Gabriel Saelie leo Jijini Dodoma wakati wa ziara yake ya kutembelea
Idara na Vitengo vya Ofisi hiyo kujionea jinsi wanavyotekeleza majukumu
yao.
Mmoja wa watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana Ajira na Wenye
Ulemavu Bi. Leinila Mtilanjala akitoa maelezo kwa Waziri wa Nchi Ofisi
ya Waziri Mkuu Sera Bunge Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Mhe.
Jenista Mhagama leo mjini Dodoma wakati alipotembelea Vitengo na Idara
zilizopo chini ya Ofisi hiyo.
Baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana Ajira na Wenye
Ulemavu wakimsikiliza. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge
Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani)
wakati wa ziara yake ya kutembelea Idara na Vitengo vya Ofisi hiyo
kujionea jinsi wanavyotekeleza majukumu yao.
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Bw. Peter Kalonga akimwelezea jambo kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama wakati wa ziara yake ya kutembelea Idara na Vitengo vilivyopo chini ya Ofisi hiyo. (Kulia) Mtakwimu Mwandamizi Idara ya Ajira Bw. Godwin Mpelumbe.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...