Hiza ni aina ya ya mbegu za viazi lishe zilizopo katika shamba la mfano la SUGECO Chuo Kikuu cha Kilimo Morogoro, ambalo washiriki wa mafunzo ya uongezaji thamani wa viazi lishe walitembelea mwishoni mwa mwezi uliopita, ambapo pia walijinea viazi kutoka kwa mkulima Sparta . Viazi Lishe vina asilimia kubwa ya vitamini A zinazofaa kwa afya za walaji na hasa kwa akina mama mama wanaojiandaa kupata mimba, wajawazito, waliojifungua pamoja na watoto . PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA.
KABODE 
KIEGEA 
KIAZI CHA MATAYA
KIAZI CHA EJUMULA 
KIAZI LISHE CHA KAKAMEGA 
KIAZI CHA KAKAMEGA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...