Kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Mh John Mongella hadi leo saa 4 asubuhi Septemba 21,2018,jumla ya maiti 86 zimeopolewa.
Akihojiwa na Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC),Mongella amesema Miili ambayo imeshaopolewa leo asubuhi pekee ni 42 wakati mingine 44 ilipatikana jana,kwa hiyo Jumla ni 86 na Watu 40 waliokolewa wakiwa hai .
Amesema kuwa pamoja na kupatikana idadi hiyo ya watu bado wanaendelea na shughuli ya uokoaji
MUNGU AZILAZE ROHO ZA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMEN
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...