Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa akikagua miundombimu ya maji katika tanki  ambalo litasambaza  maji katika mji wa Serikali katika eneo la Ihumwa leo Jijini Dodoma.Tanki hilo litakuwa na uwezo wa kuchukua lita milioni moja. 
Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa  akishiriki  ujenzi wa jengo la Wizara yake unaoendelea katika Mji wa Serikali Ihumwa,Jijini Dodoma.
Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa  akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu wa Wizara hiyo  Bw.Barnabas Ndunguru juu ya ujenzi wa kisima cha maji  kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya Wizara hiyo katika eneo la Mji wa Serikali.
 Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa akiangalia ramani ya uwekaji  wa mifumo ya Maji  katika chanzo ambapo Serikali inachukua maji  na kupeleka katika Mji wa Serikali katika eneo la Ihumwa Jijini Dodoma.Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maji safi na Maji Taka Dodoma(DUWASA) Mhandisi David Palangyo.
Picha zote na Daudi Manongi,MAELEZO,DODOMA.06.01.2019

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...