Wafanyabiashara wa Samaki katika soko la Samaki la kimataifa Feri wakiendelea na shughuli zao mbalimbali katika soko hilo leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka,MMG).
 Mchuuzi wa Samaki wa soko la Samaki feri akimkata kata samaki aina ya Songoro kwa ajili ya kupeleka mtaani kuuzwa.
 Wajasilimali katika Soko kuu la samaki  la kimataifa Feri jijini Dar es Salaam  wakitayarisha Samaki kwa lengo la kuwauza kwa wateja  mbalimbali watakao fika katika soko hilo.
 Wafanyabiashara wa Samaki wa soko la Samaki la kimataifa Feri wakipara Samaki 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...