Washiriki wa mashindano ya Ulengaji Shabaha wakiwa katika Harakati za Mashindano ya Majeshi Tanzania BAMMATA yanayoendelea katika Viwanja vya Kunduchi Jijini Dar es Salaam. ( Picha na Luteni Selemani Semunyu).
Waamuzi wa Mchezo wa Ulengaji Shabaha wakihesabu Alama baada ya Wapigaji kupiga katika Uwanja wa Kunduchi Jijini Dar es Salaam wakati wa Mashindano ( Picha na Luteni Selemani Semunyu)
Washiriki
wa mashindano ya Ulengaji Shabaha wakiwa katika picha ya pamoja kabla
ya kuanza Mashindano ya Majeshi Tanzania kwa walenga Shabaha BAMMATA
yanayoendelea katika Viwanja vya Kunduchi Jijini Dar es Salaam. ( Picha
na Luteni Selemani Semunyu).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...