Washiriki wa mashindano ya Ulengaji Shabaha wakiwa katika Harakati za Mashindano ya  Majeshi Tanzania BAMMATA yanayoendelea katika Viwanja vya Kunduchi Jijini Dar es Salaam. ( Picha na Luteni Selemani Semunyu).
Waamuzi wa Mchezo wa Ulengaji Shabaha wakihesabu Alama baada ya Wapigaji kupiga katika  Uwanja wa Kunduchi Jijini Dar  es Salaam wakati wa Mashindano ( Picha na Luteni Selemani Semunyu)
 Washiriki wa mashindano ya Ulengaji Shabaha wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza Mashindano ya  Majeshi Tanzania kwa walenga Shabaha  BAMMATA yanayoendelea katika Viwanja vya Kunduchi Jijini Dar es Salaam. ( Picha na Luteni Selemani Semunyu).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...