Mkuu wa
wilaya ya Kigamboni, Sara Msafiri ameagiza kumuweka ndani mkandarasi anayejenga ukuta wa eneo la Kampuni ya Afroil
iliyopo Vijibweni jijini Dar es salaam baada ya kukaidi agizo alilotoa jana la
kusitisha ujenzi wa ukuta huo mpaka pale atakapojiridhisha kwani eneo hilo ni la barabara.
Mhandisi wa Umeme wa kampuni ya Mihani,Kelvn Lubagula wa (kwanza kulia)akimwelezea Mkuu wa wilaya ya Kigamboni,Sara Msafiri (wapili kulia) mtambo kusafirisha gesi kwenda kwnye matenki mbalimbali unavyo fanya kazi leo katika ziara ya kukagua vituo vya kuhifadhi gesi leo jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa wilaya ya Kigamboni,Sara Msafiri akiwa ameongozana na kamati ya ulinzi ya wilaya hiyo wakikagua mitambo mbalimbali ya kampuni ya gesi ya Mihani ya katika ziara ya kukagua vituo vyakuhifadhi gesi leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka,MMG)
Mkandarasi anayejenga ukuta wa eneo la Kampuni ya Afroil iliyopo Vijibweni jijini Dar es salaam akiwa chini ya ulinzi badaada ya Mkuu wa wilaya ya Kigamboni,Sara Msafiri kugiza kumuweka nanda msaa 12. kwakosa la kukaidi agizo alilotoa jana la kusitisha ujenzi wa ukuta huo mpaka pale atakapojiridhisha.
Mafundi wakiendelea na ujenzi katika eneo la Kampuni ya Afroil iliyopo Vijibweni jijini Dar es salaam alilotoa jana la kusitisha ujenzi wa ukuta huo mpaka pale atakapojiridhisha.
Mhandisi wa Umeme wa kampuni ya Mihani,Kelvn Lubagula wa (kwanza kulia)akimwelezea Mkuu wa wilaya ya Kigamboni,Sara Msafiri (wapili kulia) mtambo kusafirisha gesi kwenda kwnye matenki mbalimbali unavyo fanya kazi leo katika ziara ya kukagua vituo vya kuhifadhi gesi leo jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa wilaya ya Kigamboni,Sara Msafiri akiwa ameongozana na kamati ya ulinzi ya wilaya hiyo wakikagua mitambo mbalimbali ya kampuni ya gesi ya Mihani ya katika ziara ya kukagua vituo vyakuhifadhi gesi leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka,MMG)
Mkandarasi anayejenga ukuta wa eneo la Kampuni ya Afroil iliyopo Vijibweni jijini Dar es salaam akiwa chini ya ulinzi badaada ya Mkuu wa wilaya ya Kigamboni,Sara Msafiri kugiza kumuweka nanda msaa 12. kwakosa la kukaidi agizo alilotoa jana la kusitisha ujenzi wa ukuta huo mpaka pale atakapojiridhisha.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...