Katibu Tawala wa Wilaya ya Kigamboni Rahel Mhando akitoa nasaha zake kwa wasanii na wanachama wa Uzalendo kwanza walifika katika hafla ya chakula cha pamoja kwa ajili ya kusaini mkataba wa ununuzi wa Viwanja katika Wilaya ya Kigambani kupitia kampuni ya Kc Developing Plan.
Mwenyekiti wa Tanzania Uzalendo Kwanza Steve Nyerere akizungumza kabala ya kusaini maktaba na kampuni ya Uuzaji Ardhi ya Kc Development
Mkurugenzi wa Kc Land Development Plan, Khalid Mwinyi akizungumza na Wasanii kabla ya kusaini makataba wa mauziano ya Viwanja.
Mkurugenzi wa Kc Land Development Plan, Khalid Mwinyi na Mwenyekiti wa Tanzania Uzalendo Kwanza Steve Nyerere wakisaini Mkataba wa muziano ya Viwanja na wasanii katika eneo la kigamboni
Mkurugenzi wa Kc Land Development Plan, Khalid Mwinyi na Mwenyekiti wa Tanzania Uzalendo Kwanza Steve Nyerere wakibadilishana Mkataba.
Katibu wa Uzalendo Kwanza , Kulwa Kikumba maarufu kama Dude akitoa neno la Shukrani kwa Wasanii
Wasanii wa Filamu ambao ni wanachama wa kundi la Uzalendo kwanza wakfatilia
Wasanii wakifatilia kwa makini hotuba ya mgeni rasmi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...