Mwenyekiti wa kamati ya Maandalizi ya Selou marathon,Emmanuel Kajula akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam ambapo amesema lengo la kuandaa mbio hizo ni kutaka kuchochea na kukuza maendeleo ya mbio za riadha nchini Tanzania. Amewaomba watanzania kujitokeza kwa wingi katika mashindano hayo yatakayo fanyika Agosti 24 mwaka huu katika mkoa wa Morogoro.
Msanii wa kizazi kipya,Barnaba boy (kulia) ambaye pia mi balozi wa mbio za Selou marathon akizungumza leo Jijini Dar es Salaam na vyombo vya habari wakati wa uzinduzi wa website ambayo ina fomu ya kuijiunga ambayo ni www.selousmarathon.com.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Msanii wa kizazi kipya,Barnaba boy ambaye pia ni balozi wa mbio za Selou marathon akizindua website ambayo inafomu ya kuijiunga ambayo ni www.selousmarathon.com
Picha ya pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...