Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed akizungumza na Waandishi wa Habari(hawapo pichani)kuhusiana na Kupiga marufuku Uingizwaji na Utumiaji wa Mifuko ya Plastiki amabayo inaonekana kuingizwa Nchini ikiwa na Rangi tofauti mkutano uliofanyika ukumbi wa Juu wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Zanzibar.
Mwandishi wa Habari wa ZBC Swaumu Khamis akiuliza maswali katika Mkutano wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed kuzungumzia kupiga marufuku Uingizwaji na Utumiaji wa mifuko ya Plastiki amabayo inaonekana kuingizwa Nchini ikiwa na Rangi tofauti mkutano uliofanyika ukumbi wa Juu wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed akisisitiza jambo wakati akijibu maswali ya Waandishi wa Habari(hawapo pichani)kuhusiana na Kupiga marufuku Uingizwaji na Utumiaji wa Mifuko ya Plastiki amabayo inaonekana kuingizwa Nchini ikiwa na Rangi tofauti mkutano uliofanyika ukumbi wa Juu wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Zanzibar.
Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika Mkutano wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed kuzungumzia kupiga marufuku Uingizwaji na Utumiaji wa mifuko ya Plastiki amabayo inaonekana kuingizwa Nchini ikiwa na Rangi tofauti mkutano uliofanyika ukumbi wa Juu wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...