--
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma Fatma Toufiq akizungumza na Washiriki wa Mkutano wa kujadili masuala ya usalama barabarani ulioandaliwa na Chama Cha Wanasheria wanawake TAWLA
Mratibuwa Masula ya Uslama barabra kutoka Umoja wa Mataifa Marry Kessy akizungumzia malengo mawili ya milenia ambayo yamegusia usalama barabarani na muda uliongezwa wa maalengo ya milenia kufikia 2030
Mkurugenzi wa Chama Cha Wanasheria Wanawake TAWLA, Tike Mwambipile akizungumza na Washiriki wa Semina hiyo juu ya masuala ya usalama barabarani
Mmoja wa Washiriki wa Semina hiyo na Mdau wa Masuala ya Usalama Barabrani Mzee Hamza Kasongo akichangia katika mjadala wa nini kifanyike kupunguza ajali nchini
Sehemu ya Washiriki wa Semina juu ya Masuala ya Usalama Barabarani yaliyoandaliwa na TAWLA Kwa kushirikiana na Azaki nyingine za kiraia
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...