Meneja wa Tigo kanda ya Kaskazini Lilian Mwalongo (kati kati) akipongezana na Mtendaji wa kijiji cha Longido Leiyo Laizer (kushoto)  na mwenyekiti wa kijiji hicho Theresia Kashuma  (kulia)muda mfupi baada ya kuzindua mnara mpya ulio ongezewa uwezo kutoka 2G kwenda 3G 

Maofisa wa Tigo wakiwahudmia wateja ambao ni wakazi wa Longido mkoani Arusha wakati wa uzinduzi wa mnara mpya ulio ongezewa uwezo kutoka 2G kwenda 3G  uliofanyika Longido jana.

 Meneja wa Tigo kanda ya Kaskazini Lilian Mwalongo (kushoto) akiongea na wananchi wa Longido mkoani Arusha wakati wa uzinduzi wa mnara mpya ulio ongezewa uwezo kutoka 2G kwenda 3G . Wa kwanza kulia ni Mtendaji wa kijiji cha Longido Leiyo Laizer na Mwenyekiti wa kijiji Theresia Kashuma
 Mwenyekiti wa kijiji cha Longido Theresia Kashuma (kati kati) akiongea na wananchi wa Longido mkoani Arusha wakati wa uzinduzi wa mnara mpya wa Tigo ulio ongezewa uwezo kutoka 2G kwenda 3G. Kushoto ni Meneja wa Tigo kanda ya Kaskazini Lilian Mwalongo na kulia ni Mtendaji wa kijiji cha Longido Leiyo Laizer

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...