Meneja wa Tigo kanda ya Kaskazini Lilian Mwalongo (kati
kati) akipongezana na Mtendaji wa kijiji cha Longido Leiyo Laizer (kushoto) na mwenyekiti wa kijiji hicho Theresia
Kashuma (kulia)muda mfupi baada ya
kuzindua mnara mpya ulio ongezewa uwezo kutoka 2G kwenda 3G
Maofisa wa Tigo wakiwahudmia wateja ambao ni wakazi wa
Longido mkoani Arusha wakati wa uzinduzi wa mnara mpya ulio ongezewa uwezo
kutoka 2G kwenda 3G uliofanyika Longido
jana.
Meneja wa Tigo kanda ya Kaskazini Lilian Mwalongo (kushoto) akiongea na wananchi wa Longido mkoani Arusha wakati wa uzinduzi wa mnara mpya ulio ongezewa uwezo kutoka 2G kwenda 3G . Wa kwanza kulia ni Mtendaji wa kijiji cha Longido Leiyo Laizer na Mwenyekiti wa kijiji Theresia Kashuma
Mwenyekiti wa kijiji cha Longido Theresia Kashuma (kati kati) akiongea na wananchi wa Longido mkoani Arusha wakati wa uzinduzi wa mnara mpya wa Tigo ulio ongezewa uwezo kutoka 2G kwenda 3G. Kushoto ni Meneja wa Tigo kanda ya Kaskazini Lilian Mwalongo na kulia ni Mtendaji wa kijiji cha Longido Leiyo Laizer
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...