Kamanda wa polisi mkoani Ruvuma Simon Maigwa Marwa akionesha Bunduki mbili aina ya AK 47 kwa waandishi wa Habari zilizokamatwa katika kijiji cha Nambendo Songea vijijini ambazo zimeingizwa kutoka Nchi jirani ya MSUMBUJI ambapo watu wanne wanashikiliwa na kuhusiana na  tukio hilo.
Mkazi wa kijiji cha Nambendo tarafa ya Muhukuru Issa Millanzi akiwa na  meno mawili ya tembo yenye thamani ya zaidi ya Ml 50 baada ya kukamatwa na Polisi kufuatia msako mkali unaofanywa na Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma kuwasaka watu wanaojihusisha na matukio ya uharifu na ujangili katika maeneo mbalimbali ya mkoa huo hasa maeneo yanayopakana na Nchi jirani ya MSUMBUJI,

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...