Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi
ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. January Makamba akikabidhi Ofisi
kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George
Boniface Simbachawene katika Ofisi ndogo ya Makamu wa Rais jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya
Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Boniface Simbachawene
akimsindikiza Mhe. January Makamba mara baada ya kukamilika kwa hafla ya
makabidhiano ya Ofisi katika Ofisi ndogo Dar es Salaam. Katikati ni Naibu
Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Sima.
Picha ya pamoja baada ya
makabidhiano ya Ofisi: Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na
Mazingira) Mhe. George Boniface Simbachawene (kulia) Mhe. January Makamba na
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mussa Sima.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...