Gari aina ya Rav4  imepiga mweleka na kuingia mtaroni  eneo la Mbezi barabra ya Morogoro   jijini Dar as Salaam leo, chanzo cha ajali hiyo hakikufahamika mara moja (Picha na Emmanuel Massaka Michuzi Tv)
Break Down likiwa tayari kwa kulinyanyua gari hilo toka mtaroni.







Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...