Kerioth George Sanga. Kuzaliwa: 24/06/1950 - Kufariki: 30/06/2019


Tunasikitka kutangaza Msiba wa Baba Yetu Mpendwa Kerioth George Sanga alietutoka tarehe 30/06/2019 katika hospitali ya TMJ Mikocheni. 



Bwana ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...