Watoto wa wafanyakazi wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania
Plc wakifurahia michezo mbali mbali katika tamasha la "Bring your Kid to
work" lililofanyika makao makuu ya ofisi za kampuni hiyo mwishoni mwa
wiki. Kampuni ya Vodacom ni ya kwanza nchini kuandaa tamasha la namna
hiyo ambapo watoto wamepata nafasi kuona jinsi wazazi wao
wanavyotekeleza majukumu yao ofisini hapo
Watoto wa wafanyakazi wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania
Plc wakifurahia michezo mbali mbali katika tamasha la "Bring your Kid to
work" lililofanyika makao makuu ya ofisi za kampuni hiyo mwishoni mwa
wiki. Kampuni ya Vodacom ni ya kwanza nchini kuandaa tamasha la namna
hiyo ambapo watoto wamepata nafasi kuona jinsi wazazi wao
wanavyotekeleza majukumu yao ofisini hapo
Watoto wa wafanyakazi wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania
Plc wakifundishwa jinsi ya kutumia platform ya instant School ambayo
inawawezesha wanafunzi kupata vitabu vya masomo mbali mbali, katika
tamasha la "Bring your Kid to work" lililofanyika makao makuu ya ofisi
za Vodacom mwishoni mwa wiki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...