Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila (pili kushoto) akikata utepe kuashiria ufunguzi siku ya nyumba,kwanza kulia Mkuu wa wilaya ya Mbeya Paul William Ntinika na kwanza kushoto Kaimu Mkuu wa Kitengo cha wateja wadogo na wa kati Ally Ngingite,na pili kulia Meneja na bank ya Nmb kanda ya Manda za juu kusini Straton Chilongola wakati wa hafla uzinduzi siku ya nyumba NMB Mwanjelwa jijini Mbeya Agosti 16 mwaka huu .
Baadhi ya wananchi na wateja wa Benki ya NMB Mwanjelwa ,wakifatilia hatoba ya Mkuu wa mkoa wa Mbeya Albert Chalamila hayupo katika picha wakati hafla ya uzinduzi wa siku ha nyumba iliyoandaliwa na benki ya NMB Katika eneo la Mwanjelwa jijini Mbeya Agosti 16 mwaka huu
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila akizugumza na wateja wa benki ya NMB katika uzinduzi wa siku ya nyumba iliyoandaliwa na Benki ya NMB eneo la Mwanjelwa jijini Mbeya Agosti 16 mwaka.



Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila katikati walioketi akiwa na wafanyakazi wa Bank ya NMB wakati wa uzinduzi wa siku ya nyumba iliyoandaliwa na benki ya NMB,hafla ambayo imefanyika katika Viwanja vya benki hiyo Mwanjelwa Jijini Mbeya Agosti 16,2019.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh Albert Chalamila (wa pili kulia) akimsikiliza kwa Makini Kaimu Mkuu wa Kitengo cha wateja wadogo na wa kati kutoka Bank ya NMB Ally Ngingite (wa pili kushoto),wakati wa hafla ya uzinduzi wa maonyesho ya nyumba katika viwanja ya Benki ya NMB Tawi la Mwanjelwa Jijini Mbeya kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Paul Ntinika wa kwanza kushoto ni Meneja wa NMB Kanda ya Nyanda za Juu Straton Chilongola.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila akipewa ufafanuzi kuhusiana na masuala ya nyumba na Steven Mohamed (katikati) amabaye ni Msanifu majengo Kampuni ya Malk Consultants(T) Ltd wakati wa hafla ya uzinduzi siku ya Nyumba iliyoandaliwa na benki ya NMB hafla ambayo imefanyika katika eneo la benki hiyo Mwanjelwa Jijini Mbeya.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...