Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia) akizungumza
na Wajumbe wa Tume ya Utumishi ya
Polisi, Uhamiaji na Magereza wakati wa kikao cha kujadili utendaji wa vyombo
vilivyopo chini ya Wizara yake. Kikao hicho kilifanyika jijini Dar es Salaam,
leo. Wapili kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu.
wapili kushoto ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, (CGF),
Thobias Andengenye, na kushoto ni Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai
(DCI), Robert Boaz.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja
Jenerali Jacob Kingu (kushoto) akizungumza katika Kikao cha Tume ya Utumishi ya
Polisi, Uhamiaji na Magereza cha kujadili utendaji wa vyombo vilivyopo katika Wizara
hiyo. Kikao hicho kilifanyika jijini Dar es Salaam, leo. Kulia ni Waziri wa
Wizara hiyo, Kangi Lugola.
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia) akizungumza na Wajumbe wa Tume
ya Utumishi ya Polisi, Uhamiaji na Magereza wakati wa kikao cha kujadili
utendaji wa vyombo vilivyopo chini ya Wizara yake. Kikao hicho kilifanyika
jijini Dar es Salaam, leo.
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia meza kuu) akizungumza na Wajumbe
wa Tume ya Utumishi ya Polisi, Uhamiaji na Magereza wakati wa kikao cha
kujadili utendaji wa vyombo vilivyopo chini ya Wizara yake. Kikao hicho kilifanyika
jijini Dar es Salaam, leo. Kushoto meza kuu ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja
Jenerali Jacob Kingu. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...