Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Mhe. Kisare Matiku Makori (kulia) akipatiwa elimu kuhusu gari maalum la Mahakama Inayotembea kwenye eneo la Kibamba jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Kimara, Mhe.Geiza Mbeyu. (katikati) ni Karani wa Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Nise Mwasalemba.


Karani wa Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Nise Mwasalemba(kulia) akiwaelezea baadhi ya wakazi wa Kimara Stopover, jijini Da res Salaam kuhusu Mahakama Inayotembea Inavyofanya kazi baada ya kuwapatia elimu.(Picha na Aziza Muhali – SJMC)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...